NAMNA ANAVYO VAA: Mavazi ni moja ya kipimo cha nje kinachothihirisha falsafa na staha ya mvaaji. Kabla ujavaa vazi lako, jiulize kama vazi hilo ni la heshima, kikahaba n.k.
NAMNA ANAVYO ONGEA: Kwa kawaida mtu huongea yaliyo ujaza moyo wake, Hivyo tunavyozungumza kuna onyesha jinsi tulivyo.Kabla hujaongea jiulize Kama ingekuwa ni Yesu yuko katika mazingira yako angeweza kutamka maneno kama yako?
NAMNA ANAVYO KULA: Je ni mroho wa chakula au la! Inatupasa tujiulize kama tunadhamini chakula kuliko mambo ya kiroho au utu?
TUMTAZAME YESU KATIKA KILA JAMBO TUFANYALO NASI TUTAKUWA SALAMA KWANI YEYE PEKE YAKE NDIYE KIELELEZO CHETU KATIKA USAFI WA ROHO.
No comments:
Post a Comment